Pata taarifa kuu
Wimbi la Siasa

Siasa nchini Uganda

Imechapishwa:

Rais Yoweri Museveni alitangazwa mshindi katika uchaguzi uliokamilika nchini Uganda.Mwanasiasa wa upinzani Kizza Besigye aliyakataa  matokeo hayo na kudai kuwa kulikuwa na wizi wa kura.Tunachambua hali ya kisiasa ilivyokuwa nchini Uganda.

Raia wa Uganda akipiga kura
Raia wa Uganda akipiga kura
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.