Pata taarifa kuu
Wimbi la Siasa

Serikali ya Sudan Kusini na makundi ya waasi yaanza mazungumzo jijini Nairobi

Imechapishwa:

Mazungumzo ya amani yanayohusisha makundi ya waasi nchini Sudan Kusini na serikali yameanza rasmi jijini Nairobi, wakati huu taifa hilo likijiandaa kwa uchaguzi wa mwezi Disemba.

Le président sud-soudanais Salva Kiir (gauche) serrant la main de Pagan Amum, le 9 mai 2024 à Nairobi au Kenya.
Le président sud-soudanais Salva Kiir (gauche) serrant la main de Pagan Amum, le 9 mai 2024 à Nairobi au Kenya. © Brian Inganga / AP
Matangazo ya kibiashara

Makundi haya ni yale yaliosusia mkataba wa amani wa mwaka 2018, wakati rais Salva Kiiri na hasimu wa wake wa kisiasa ambaye sasa ni makamo rais wa Kwanza Reik Machar walisaini mkataba wa amani.

Soma piaKenya kuisaidia Sudan Kusini kupata suluhu ya utovu wa usalama wa miaka mingi

Katika makala haya Benson Wakoli na wachambuzi wa kisiasa Fracis Wambete, ambaye na mhadhiri wa chuo kikuu cha Makerere nchini Uganda, pamoja na Abdulkarim Atiki, mchambuzi wa siasa za kimataifa kutoka nchini Tanzania wanajaribu kuangazia kufaulu kwa mazungumzo haya, skiza.

Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.