Pata taarifa kuu
Wimbi la Siasa

Kizza Besigye achaguliwa tena kuwania urais kupitia chama chake cha FDC

Imechapishwa:

Kizza Besigye amechaguliwa tena kuwania urais mwaka ujao kupitia chama cha upinzani cha FDC.Besigye alipata nafasi hiyo baada ya kumshinda mpinzani wake wa pekee na Mwenyekiti wa chama hicho Mugisha Muntu.Tunachambua ushindi huu wa Besigye na siasa za upinzani nchini Uganda.

Mgombea wa urais nchini Uganda kupitia chama cha FDC Kizza Besigye
Mgombea wa urais nchini Uganda kupitia chama cha FDC Kizza Besigye Reuters
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.