Pata taarifa kuu
Wimbi la Siasa

Mgogoro wa Sudan Kusini waingia katika sura mpya baada Serikali kuwaachi watu waliokuwa wakishikiliwa.

Imechapishwa:

Serikali ya Sudan Kusini imewaachilia huru wafuasi wa makamu wa zamani wa Rais wa nchi hiyo Riekh Machar wapatao saba na inaendelea kuwashikilia wengine ambao wanafunguliwa mashtaka kwa mujibu wa sheria za Sudan Kusini.Makala ya Wimbi la Siasa hii leo itajikita kujadili hatua hiyo ambayo imepokelewa kwa hisia na mitizamo tofauti, fuatilia makala hii hili ujue undani wa suala hili na nini kimejificha nyuma ya pazia..............

Rais wa sudan Kusini, Salva Kiir
Rais wa sudan Kusini, Salva Kiir RFI
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.