Pata taarifa kuu
Wimbi la Siasa

Burundi: Mgawanyiko kwenye chama kikuu cha upinzani  CNL

Imechapishwa:

Nchini Burundi, chama kikuu cha upinzani cha CNL kinashuhudia mgawanyiko baada ya kiongozi wake Agathon Rwasa kuondolewa kwenye nafasi kiongozi wa chama.Hii ilitokea wakati Rwasa akiwa ziarani nchini Kenya.Nini hatima ya kisiasa ya Rwasa  ?Tunazungumza naye lakini pia Mali Ali mchambuzi wa siasa za Burundi akiwa jijini Paris.

Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani  cha CNL nchini Burundi, Agathon Rwasa.
Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani cha CNL nchini Burundi, Agathon Rwasa. REUTERS/Thomas Mukoya
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.