Pata taarifa kuu
Wimbi la Siasa

Kufutwa kwa kesi zinazowahusu wandani wa rais William Ruto

Imechapishwa:

Tangu mwaka jana ,idara ya mahakama nchini Kenya imefuta baadhi ya kesi dhidi ya watu walio karibu na rais William Ruto

 Rais Wiliam Ruto akisaini miswada iliyopitishwa na bunge la Kenya
Rais Wiliam Ruto akisaini miswada iliyopitishwa na bunge la Kenya © PSCU
Matangazo ya kibiashara

Mahakama nchini Kenya imefuta kesi nyingi zinazowahusu wandani wake rais William Ruto ,kwa msingi wa kukosa ushahidi.Baadhi ya waliofutiwa mashtaka ni naibu rais Rigathi Gachagua,waziri  Aisha Jumwa na Minthika Linturi.

Katika makala haya Eric Theuri ,rais wa chama cha mawakili nchini Kenya ,LSK na Daktari Brian Wanyama mhadhiri  katika chuo kikuu cha Kibabii ,Bungoma nchini Kenya ,ambaye pia ni mchambuzi wa siasa ,wanazungumzia hatua hii ambayo imetafsiriwa na wengi kuwa ya kisiasa

Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.