Pata taarifa kuu
Wimbi la Siasa

Mchakato wa Katiba Mpya nchini Tanzania na nafasi ya Waandishi wa Habari

Imechapishwa:

Tume ya Ukusanyaji Maoni kwa ajili ya Katiba Mpya nchini Tanzania inaendelea na mchakato wa kupata maoni kutoka kwa makundi mbalimbali mojawapo ikiwa ni Jumuiya ya Waandishi wa Habari inayotajwa kama mhimili wa nne wa serikali usio rasmi. Makala ya Wimbi la Siasa limekutana na waandishi wa habari kuangalia nafasi yao kwenye kutoa maoni juu ya katiba mpya!!

Waandishi wa Habari nchini Tanzania wakiwa kwenye shughuli zao za ukusanyaji wa habari
Waandishi wa Habari nchini Tanzania wakiwa kwenye shughuli zao za ukusanyaji wa habari
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.