Wimbi la Siasa
Kukua kwa Mgogoro wa Sudan na Sudan Kusini huku Baraza la Usalama likitishia kuziwekea vikwazo
Imechapishwa:
Cheza - 10:00
Makala ya Wimbi la Siasa hii leo itaangazia maendeleo ya mgogoro Sudan na SudanKusini baada ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kupitisha Azimio la kuzitaka nchi Hizo zirejee katika meza ya mazungumzo ili kumaliza mgogoro huo.Baraza hilo limezionya nchi hizo kuwa zitakabiliana na vikwazo endapo zitashindwa kutekeleza Azimio hilo.Je Azimio hilo linaweza kuwa dawa ya kumaliza tofauti baina ya nchi hizo mbili? Fuatilia makala haya ili upate kujua undani wa suala hilo.