Pata taarifa kuu
Wimbi la Siasa

Kamati ya Nidhamu ya Chama Cha ANC yamtimua uanachama Julius Malema

Imechapishwa:

Makala ya Wimbi la Siasa leo yanaangazia hatua ya Chama Tawala nchini Afrika Kusini cha ANC kutangaza kumfukuza rasmi uanachama aliyekuwa Rais wa Umoja wa Vijana wa chama hicho Julius Malema ambaye alimsaidia pakubwa Rais wa sasa Jacob Zuma kuweza kushinda uchaguzi uliopita.

Rais wa zamani wa Umoja wa Vijana wa Chama Tawala Nchini Afrika Kusini ANC Julius Malema akiwa na Thabo Mbeki
Rais wa zamani wa Umoja wa Vijana wa Chama Tawala Nchini Afrika Kusini ANC Julius Malema akiwa na Thabo Mbeki REUTERS/Siphiwe Sibeko
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.