-
Taifa la Uganda lakabiliwa na uhaba wa mipira ya kiume maarufu kama condom
-
Mgogoro wa kisiasa wanukia nchini Sudan Kusini baada ya Rais Salva Kiir kuvunja Baraza la Mawaziri na kumfuta kazi Makamu wa Rais
-
Marekani imetoa ombi jingine kwa Urusi iwakabidhi Mfanyakazi wa zamani wa Shirika la Kijasusi la CIA Edward Snowden
-
Serikali ya Marekani yatangaza mpango wa kuchelewesha msaada wake wa Ndege za Kijeshi wa Misri kutokana na uwepo wa machafuko
-
Waasi wa Kundi la M23 wajigamba kuwaua Wanajeshi wa FARDC 400 kwenye mapigano yaliyodumu kwa Siku 10
-
Waziri Mkuu wa Uhispania Mariano Rajoy atangaza siku tatu za maombolezo ya kitaifa kuwakumbuka watu 78 waliopoteza maisha kwenye ajali ya Garimoshi
-
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis atoa onyo kwa mataifa yanayohalalisha matumizi ya mihadarati
-
Wananchi wa Togo wanapigakura kuchagua Wabunge wao huku Upinzani ukionya hawatokubali matokeo kukiwa na wizi wa kura
-
Timu ya Taifa ya Wanawake ya Ujerumani imetinga Fainali ya Kombe la Mataifa ya Ulaya kwa kuwafunga Sweden
-
Bayern Munich yaichakaza Barcelona kwa magoli 2-0 kwenye mchezo wa kirafiki uliopigwa Allianz Arena
-
Kocha wa Liverpool Brendan Rodgers amtaka Luis Suarez kutambua mchango wa mashabiki waliokuwa wanamuunga mkono
-
Klabu ya Atletico Mineiro ya Brazil ndiyo Mabingwa wapya wa Kombe la Copa Libertadores baada ya kuwafunga Olimpia
-
Hofu yatanda nchini Misri kabla ya kufanyika kwa Maandamano ya Kitaifa yaliyoitishwa na Mkuu wa Majeshi Jenerali Al Sisi