-
Wananchi wa Mali wanatarajiwa kupiga kura kumchagua rais wa Taifa hilo mwishoni mwa juma hili
-
Tanzania inatarajiwa kuwa miongoni mwa nchi zinazoongoza kwa uzalishaji wa gesi asilia ifikapo mwaka 2015
-
Baraza la Mawaziri nchini Sudan Kusini lavunjiliwa mbali huku Makamu wa Rais naye akifukuzwa
-
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis anatarajia kuhudhuria Kongamano la Vijana nchini Brazil
-
Kiongozi Mkuu wa Upinzani nchini Syria anatarajiwa kukutana na Rais wa Ufaransa Francois Hollande ili kuomba msaada wa Kijeshi
-
Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir amevunja Baraza la Mawaziri pamoja na kumsimamisha kazi Makamu wa Rais Machar
-
Wafuasi wa Morsi waendelea na maandamano ya kushinikiza kuachiwa Kiongozi wao huku idadi ya waliouawa ikifikia 13
-
Marekani yaitaka Rwanda kuacha mara moja kulifadhili Kundi la Waasi la M23 na kuondoa Wanajeshi wake Mashariki mwa DR Congo
-
Kocha wa Tottenham Hotspur Villas-Boas ameendelea kusisitiza hawapo tayari kumuuza Mshambuliaji wao Gareth Bale
-
Kocha wa Manchester United David Moyes asema Wayne Rooney atajunga na Kikosi chake huko Sweden kwa maandalizi ya mwanzoni mwa msimu
-
Kocha Mpya wa Barcelona Gerardo Martino akiri ushawishi wa Lionel Messi ndiyo umechangia kuteuliwa kwake kuwa Mrithi wa Vilanova
-
Nahodha wa Liverpool Steven Gerrard asisitiza Luis Suarez bado anahitajika kuendelea kuwatumikia Vijogoo Vya Jiji
-
Mkuu wa Majeshi nchini Misri Jenerali Al Sisi atoa wito kwa wananchi kufanya maandamano ya kitaifa siku ya Ijumaa
-
Tume Huru ya Uchaguzi Nchini Zimbabwe ZEC yatangaza kutoa vitambulisho kwa Waangalizi 20,000 wa Uchaguzi wa Urais
-
Urusi yatoa nyaraka za kumwezesha kuondoka Uwanja wa Ndege na kuvuka mipaka yake Mfanyakazi wa zamani wa CIA Snowden