-
Kiongozi wa zamani wa Jamhuri ya Afrika ya Kati Francois Bozize aondoka Cameroon kueleka Afrika Kusini kuomba hifadhi
-
Marekani yatangaza zawadi ya dola milioni tano kwa atakayesaidia kukamatwa kwa Kiongozi wa Boko Haram Abubakar Shekau
-
Viongozi wa Umoja wa Ulaya EU na wale wa Urusi kujadiliana njia za kuchukua ili kumaliza umwagaji wa damu nchini Syria
-
Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini Uturuki limeitisha mgomo wa siku mbili kushinikiza kujiuzulu kwa Serikali
-
Novak Djokovic na Rafael Nadal watinga Robo Fainali ya Mashindano ya French Open
-
Everton yakubali kulipa fidia kwa Wigan Athletic ili kuweza kumpata Roberto Martinez anoe kikosi chao
-
Kesi ya mauaji inayomkabili Mshindi wa Medali ya Dhahabu kwenye Mashindano ya Olimpiki Oscar Pistorius yaahirishwa hadi mwezi Agosti
-
Watu 10 wahofiwa kupoteza maisha kutokana na mafuriko yanayosababishwa na mvua kubwa kuzikumba nchi za Ulaya ya Kati
-
Wanajeshi wa Serikali ya Syria na Wapinzani wote watajwa kutumia silaha za kemikali na kufanya uhalifu dhidi ya Binadamu
-
Viongozi wa dini ya Kiislam nchini Uganda wajiapiza kupambana ili elimu ya dini iendelee kutolewa kwa watoto zao
-
Ukosefu wa madini joto umekuwa chanzo cha magonjwa ya matezi pamoja na watoto kuzaliwa na mtindio wa ubongo
-
Wananchi wapokea kwa mikono mawili pendekezo la kuwa na Serikali Tatu lililowekwa katika Rasimu ya Katiba Mpya