-
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza asaini Sheria Mpya ya Vyombo vya Habari baada ya Bunge kupitisha muswada wake
-
Serikali ya Nigeria imeyatangaza Makundi ya Wanamgambo wa Boko Haram na Ansaru kuwa ni ya kigaidi
-
Waandamanaji nchini Uturuki waendelea kupambana na Jeshi la Polisi kwa siku ya sita wakishinikiza kujiuzulu kwa Serikali
-
Jeshi la Syria limefanikiwa kurejesha kwenye himaya yake Mkoa wa Qusayr uliokuwa unashikiliwa na Wapinzani
-
Serena Williams na Sara Errani wanatarajiwa kupambana kwenye Nusu Fainali ya French Open mwaka huu
-
Jo-Wilfried Tsonga atinga Nusu Fainali baada ya kumuondoa Roger Federer na atakutana na David Ferrer
-
Timu ya Taifa ya Japan imetangaza kutumia Mashindano ya Kombe la Mabara kama sehemu ya maandalizi ya Kombe la Dunia 2014
-
Watu 12 wamepoteza maisha Barani Ulaya kipindi hiki mafuriko yakiendelea kuwa kitisho kwa Majiji ya Ujerumani
-
Waziri Mkuu wa Pakistan Nawaz Sharif ataka Marekani kuacha kutumia ndege zisizo na rubani kufanya mashambulizi
-
Klabu ya Real Madrid yasema Zinedine Zidane hana uzoefu wa kutosha kupewa jukumu la kuifundisha timu hiyo
-
Rasimu ya Katiba Mpya nchini Tanzania yaendelea kupongezwa kutokana na mapendekezo yaliyoorodheshwa ndani
-
Japan imejitokeza na kutaka kuwekeza Barani Afrika ikiwa ni ongezeko la mataifa ya kigeni kuimarisha uhusiano wao na Bara hili tajiri
-
Sheria Mpya ya Vyombo vya Habari nchini Burundi yakosolewa na wadau wakidai inabana uhuru wa vyombo vya habari