-
Waangalizi wa Uchaguzi wa Ukraine wakosoa namna ulivyoendeshwa na kueleza demokrasia haijatendeka
-
Kimbunga Sandy chapiga Pwani za Majiji nchini Marekani na kusababisha vifo vya watu 16
-
Chama Cha Soka Nchini Uingereza FA kimeanzisha uchunguzi wa madai ya kutolewa kwa maneno ya kibaguzi na Mwamuzi Clattenburg
-
Marekani yaiangukia Algeria ishiriki kwenye mpango wa kupambana na Makundi ya Kiislam yaliyopo Kaskazini mwa Mali
-
Orodha ya Wachezaji 23 wanaowania Tuzo ya Uchezaji Bora Duniani mwaka 2012 yatolewa na FIFA
-
Watu watatu wamepoteza maisha kwenye machafuko yalitokea Mji wa Kisumu nchini Kenya baada ya kifo cha Mwanasiasa Mashuhuri
-
Serikali nchini Bahrain yapiga maruku maandamano na mikusanyiko kukabiliana na machafuko ya Washia na Wasunni
-
Jeshi la Polisi nchini Afrika Kusini latumia mabomu ya machozi na risasi za mpira kuwasambaratisha wachimbaji wa Mgodi wa Anglo American Platinum
-
Mashindano kwa wanafunzi kwenye masomo ya Sayansi na Teknolojia ili kuhamasisha wanafunzi kupenda masomo hayo
-
Wajibikaji wa Idara za Polisi na Mahakama katika kuwashughulikia wauaji wa watu wenye ulemavu wa ngozi albino
-
Kutetereka kwa Uhusiano baina ya Vyombo ya Usalama na Raia katika nchi za Afrika Mashariki