-
Watu zaidi ya 50 wauawa katika milipuko miwili ya bomu iliyotokea mjini Damascus, Syria
-
Waokoaji nchini Indonesia wabaini eneo ambalo ndege iliyopotea ilianguka, juhudi za kufika eneo la tukio zinaendelea
-
Mahakama nchini Misri yatoa hukumu kusitisha kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa Urais
-
Kiongozi wa chama cha Pasok nchini Ugiriki, Evangelos Venizelos aendelea na juhudi zakutaka kuunda Serikali ya Umoja
-
Polisi nchini Mexico wabaini miili ya watu 15 waliouawa na kutelekezwa kwenye gari kaskazini mwa nchi hiyo
-
Atletico Madrid mabingwa wapya kombe la EUROPA League
-
Pambano kati ya bondia Amir Khan na mpinzani wake Lamont Peterson laahirishwa
-
Rais Barack Obama atangaza kuunga mkono ndoa za watu wa jinsia moja
-
Raia nchini Algeria washiriki zoezi la upigaji kura kuchagua wabunge
-
Mtu mmoja anaedhaniwa kuwa mfuasi wa kundi la Boko Haram auawa nchini Nigeria
-
Juba yaishutumu Khartoum kwa kukiuka maazimio ya Umoja wa Mataifa
-
1 Emission en swahili 2012-05-10
-
1 Emission en swahili 2012-05-10
-
Nini hatma ya jumuiya ya umoja wa Ulaya na afrika baada ya Hollande kuchaguliwa rais wa Ufaransa
-
1 Emission en swahili 2012-05-10