-
Wapinzani nchini Sudani ya Kusini waonya kuwepo ongezeko la kupanda kwa gharama za maisha
-
Uturuki kupeleka meli za misaada katika ukanda wa Gaza zikisindikzwa na manuari za kijeshi
-
Umoja wa Ulaya waitaka serikali ya Baharaini kuwaacha huru kwa dhamana ma dactari wa kishia
-
Watu 6 wauawa nchini Somalia wakati wakiwania msaada wa chakula
-
Mkuu wa ICC aitaka polisi ya kimataifa Interpol kumkamata Gaddafi
-
Obama awasilisha mapendekezo yake mbele ya baraza la congress
-
Bingwa wa mchezo wa masumbwi nchini Phillipine atangaza nia ya kustaafu na kuwania umakamu wa rais
-
Kukatika kwa umeme kwaatihiri shughuli za zaidi ya watu milioni 1 majimbo ya California na Mexico
-
Dola laki moja zatengwa kwa atakaetowa taarifa za wapi alipo mkuu wa Mai-Mai alietoroka jela huko Lubumbashi
-
Uchumi wa Japan waporomoka kwa asilimia 2.1
-
Rais wa Rwanda ataraji kuzuru Ufaransa Jumapili ijayo
-
Mawaziri wa fedha wa G7 wakutana jijini Marseille kujadili mbinu za kukabiliana na madeni
-
Rais Mugabe asema waangalizi kutoka Uingereza na Umoja wa Ulaya hawatokuwa na nafasi nchini mwake
-
Mahakama ya kiislam nchini Nigeria yaamuru kukatwa mikono ya kulia ya wanamume 2 wezi wa n'ngombe
-
1 Emission en swahili 2011-09-09
-
1 Emission en swahili 2011-09-09
-
1 Emission en swahili 2011-09-09
-
Septemba 11