Pata taarifa kuu
Ufaransa-G7

Mawaziri wa fedha wa G7 wakutana jijini Marseille kujadili mbinu za kukabiliana na madeni

Mawaziri wa fedha kutoka katika mataifa, tajiri duniani yanayofahamika kama G7 wanakuataka kwa siku mbili katika mji wa Marseille nchini Ufaransa kutafuta mbinu ya kuweza kukabiliana na madeni, pamoja na namna ya kuinua uchumi wa dunia.

Mawaziri wa fedha wa g7
Mawaziri wa fedha wa g7 (photo : AFP)
Matangazo ya kibiashara

Mkurugenzi mkuu wa shirika la fedha duniani, Bi.Christine Lagarde ametoa wito kwa viongozi wa mataifa hayo kushugulikia ipasavyo,na haraka iwezekanavyo changamoto za kiuchumi zinazikali mataifa yao,ili kunusuru uchumi wa dunia.

Mkutano huu unafanyaika wakati, baadhi ya mataifa barani ulaya yakikabiliwa na hali nghumu ya kiuchumi na kulazimika kubama matumizi kama vile Ugiriki, na pia biashara katika masoko ya hisa huko ulaya inaelzwa kupungua.
 

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.