Pata taarifa kuu
Marekani-Afghanistan

Mwanajeshi wa Marekani anayetuhumiwa kuua raia nchini Afghanistan amekutwa na makosa 17 ya mauaji.

Mwanajeshi wa Marekani anayetuhumiwa kufanya mauaji ya raia 16 nchini Afghanistani na kuzorotesha zaidi uhusiano ambao tayari ulishaingia doa baina ya mataifa hayo mawili jana Ijumaa ameshtakiwa kwa makosa 17 ya nayohusiana na mauaji ingawa inawezekana asihukumiwe kwa miaka miwili. 

Staff Sgt. Robert Bales, (R) 1st platoon sergeant, Blackhorse Company, 2nd Battalion, 3rd Infantry Regiment, 3rd Stryker Brigade Combat Team, 2nd Infantry Division, is seen during an exercise at the National Training Center in Fort Irwin, California, in th
Staff Sgt. Robert Bales, (R) 1st platoon sergeant, Blackhorse Company, 2nd Battalion, 3rd Infantry Regiment, 3rd Stryker Brigade Combat Team, 2nd Infantry Division, is seen during an exercise at the National Training Center in Fort Irwin, California, in th Reuters/路透社
Matangazo ya kibiashara

Mwanajeshi wa Marekani anayetuhumiwa kufanya mauaji ya raia 16 nchini Afghanistani na kuzorotesha zaidi uhusiano ambao tayari ulishaingia doa baina ya mataifa hayo mawili jana Ijumaa ameshtakiwa kwa makosa 17 ya nayohusiana na mauaji ingawa inawezekana asihukumiwe kwa miaka miwili.

Mwanajeshi huyo Sajent Robert Bales pia natuhumiwa kwa makosa sita kushambulia na kujaribu kuua katika wilaya ya Panjwai katika jimbo la Kandahar mapema mwezi huu.

Mauaji hayo mengi yakiwa ya wanawake na watotot yanaaminika kuwa mauaji makubwa ya uhalifu wa kivita kufanywa na askari wa NATO wakati wa machafuko ya miongo kadhaa.
 

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.