Pata taarifa kuu

Soka: Tanzania yafuzu katika mashindano ya kombe la dunia kwa watu wenye ulemavu

Timu ya Taifa ya Watu wenye ulemavu Tanzania (Tembo Warriors) imefuzu kuingia katika hatua 16 bora katika mashindano ya kombe la dunia la mpira wa miguu kwa watu wenye ulemavu.

Mashindano haya yameandaliwa na Shirikisho la Soka la Asia Magharibi-WAFF na yanafanyika Istanbul, Uturuki hadi 9 Oktoba 2022.
Mashindano haya yameandaliwa na Shirikisho la Soka la Asia Magharibi-WAFF na yanafanyika Istanbul, Uturuki hadi 9 Oktoba 2022. Bongarts/Getty Images - Martin Rose
Matangazo ya kibiashara

Tanzania ilipata ushindi wake wa kwanza wakiifunga Uzbekistan mabao 2-0 huko Uturuki yanapofanyika mashindano hayo.

Tembo Warriors sasa watakutana na Japan katika mchezo ujao. 

Tanzania ilikua kundi E pamoja na Spain, Poland na Uzbekistan 

Nchi nyingine zilizofuzu katika nafasi hiyo kutoka Afrika ni Morroco na Angola. 

Mashindano haya yameandaliwa na Shirikisho la Soka la Asia Magharibi-WAFF na yanafanyika Istanbul, Uturuki hadi 9 Oktoba 2022. 

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.