-
Askofu wa kanisa katoliki Melchisédech Sikuli kuwataka raia kujilinda dhidi ya mashambulio ya waasi
-
Maoni kuhusu adhabu ya kiboko shuleni, Kenya ni miongoni mwa mataifa yaliopiga marufuku adhabu hiyo
-
Macron na Scholz waweka pamoja tofauti zao wakati wa mazungumzo 'ya kirafiki' na 'ya kujenga'
-
Mazungumzo kuhusu Jumuiya ya Afrika Mashariki na katibu mkuu Peter Mathuki
-
Mjumbe maalum wa UN nchini Libya ataka kuunganisha serikali kuu kabla ya uchaguzi
-
Félix Tshisekedi ateuliwa kuwa mpatanishi mzozo wa Chad
-
Mazungumzo yanaendelea kati ya waasi wa Tigray na serikali ya Ethiopia mjini Pretoria
-
Marekani: Usalama nchini Mali umedorora licha ya kuwasili kwa Wagner
-
Ongezeko la mapinduzi ya kijeshi Barani Afrika
-
UN: Nchi haziwajibiki kuzuia ongezeko la joto duniani
-
Iran yatangaza vikwazo dhidi ya taasisi na vyombo vya habari vilivyoko Ulaya
-
Mjadala kuhusu utovu wa usalama Mashariki mwa DRC
-
Bunge la Rwanda kukataa muswada wa kuruhusu elimu ya uzazi wa mpango kwa wasichana kuanzia miaka 15
-
Iran: Vikosi vya usalama vyawafyatulia risasi waandamanaji
-
DRC: Serikali yajibu shutuma za Rwanda za 'kuongezeka kwa mapigano' na M23
-
Baada ya ziara ya Mkuu wa UNHCR, Kenya yataka 'kurekebisha' kambi zake za wakimbizi