Gurudumu la Uchumi
Mazungumzo kuhusu Jumuiya ya Afrika Mashariki na katibu mkuu Peter Mathuki
Imechapishwa:
Cheza - 09:57
Katika makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili, tumefanya mahojiano na katibu mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Peter Mathuki, ambaye anazungumza mengi kuhusu Jumuiya na mchakato wa Somalia kuomba kuwa mwanachama.