-
Makao makuu ya Kundi la Hezbollah nchini Lebanon yakabiliwa na shambulizi ya hapa na pale
-
Taifa la Iraq lakabiliwa na machafuko ya wao kwa wao huku kujitokeza mgawanyiko baina ya raia kutokana na madhehebu ya kidini
-
Hali ya usalama yaendelea kudorora katika baadhi ya maeneo ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo
-
Mazungumzo ya kusaka amani Sudan Kusini yanatazamiwa kuanza rasmi baada ya kusuasua kwa siku mbili zilizopita
-
Klabu ya Cardiff City baada ya kumfuta kazi Malky Mackay hatimaye imempata meneja mpya
-
Tume ya Uchaguzi nchini Madagascar yamtangaza mshindi wa uchaguzi wa urais
-
Msanii kutoka ukanda wa Afrika Mashariki Daddy Face