-
Wahamiaji Haramu kutoka Barani Arika wapatao 300 wanatajwa kupoteza maisha kwenye ajali ya boti huko Italia
-
Serikali ya Sudan yanyoshewa kidole cha lawama kutokana na kutumia nguvu kubwa kukabiliana na maandamano
-
Rais Obama afuta ziara yake ya Barani Asia ili apate muda wa kushughulikia mkwamo wa bajeti ya Serikali
-
Jeshi la Rwanda limepuuzilia mbali vikwazo vya Kijeshi vilivyowekwa na Marekani dhidi ya nchi hiyo
-
Kiongozi wa Kidini anayetajwa kuhubiri itikadi za Kundi la Al Shabab auawa nchini Kenya na watu wenye silaha
-
Kocha wa Timu ya Taifa ya Uingereza Hodgson asema tiketi ya kufuzu Kombe la Dunia 2014 ipo mikononi mwao
-
Nahodha wa Manchester United Nemanja Vidic ataka wachezaji kurejea kwenye kiwango chao ili kupata matokeo mazuri
-
Mwanamuziki Dayna Nyange wa Tanzania ajivunia mafanikio aliyoyapata kwenye muziki
-
Wahamiaji Haramu kutoka Barani Afrika waendelea kuwa waathirika wa ajali za meli zinazochangia vifo vyao katika Pwani ya Italia