-
Rais Robert Mugabe aapishwa kwa muhula mwingine wa saba mbele ya halaiki ya watu wakishiriki pia viongozi mbalimbali kutoka mataifa yas Afrika
-
Kiongozi wa zamani wa chama cha kikominist nchini China Bo Xilai apandishwa kizimbani
-
Ripoti mpya yabaini kukithiri kwa Vitendo vya utoaji mimba nchini Kenya na Uganda.
-
Mwanajeshi alievujisha siri za Marekani kwa mtandao wa Wikileaks ahukumiwa kifungo cha miaka 35 jela
-
Mapigano yazuka tena huko mashariki mwa DRCongo baina ya waasi wa M23 na vikosi vya serikali vya FARDC
-
Wakenya waadhimisha kumbukukumbu ya miaka 35 tangu kufariki kwa rais mtetezi wa uhuru wa taifa hilo
-
Australia yalaumiwa kukataa kuwpaokea wakimbizi kwa kisisngizio cha kupambana na wahamiaji haramu
-
Marekani yataka ukweli kuhusu taarifa ya kuawa kwa kiongozi wa kundi la Boko Haram nchini Nigeria
-
Kocha wa Arsenal Arsene Wenger asema yupo tayari kumsajili Karim Benzama mshambuliaji wa Real Madrid
-
Umoja wa Ulaya EU waiwekea vikwazo vya silaha serikali ya Misri kufuatia umwagaji wa damu unaendelea kushuhudiwa nchini humo
-
Watoto na filamu za ngono
-
Kuapishwa kwa rais wa Zimbabwe Robert Gabriel Mugabe