Pata taarifa kuu
KENYA-MAADHIMISHO

Wakenya waadhimisha kumbukukumbu ya miaka 35 tangu kufariki kwa rais mtetezi wa uhuru wa taifa hilo

Wakenya hii leo wameadhimisha miaka 35 tangu kutokea kifo cha rais mwanzilishi wa taifa hilo mzee jomo Kenyatta. Kenyatta aliaga dunia tarehe 22 mwezi Agosti mwaka wa 1978. Mwanahabari wetu Paulo Silva amehudhuria hafla hiyo na hii hapa ni ripoti yake

Mzee Jomo Kenyatta
Mzee Jomo Kenyatta
Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.