-
Muungano wa Seleka umeanza mchakato wa kuunda Jeshi la Taifa lengo likiwa ni kuimarisha ulinzi na usalama
-
Watu 29 wapoteza maisha nchini India baada ya Jengo la Ghorofa 7 lililokuwa linajengwa kuanguka
-
Hofu ya kuibuka vita kati ya Korea Kaskazini na Marekani yaongezeka huku kila upande ukiweka sawa zana zake za Kijeshi
-
Mazungumzo ya kusaka suluhu ya mgogoro wa nyuklia unaoikabili Iran yameanza na kuzileta pamoja pande sita
-
Chelsea, Benfica zatamba Europa huku Newcastle, Rubin Kazan na Tottenham mambo yakiwaendea kombo
-
Kocha wa Tottenham Villas-Boas anahisi maumivu aliyoyapata Kiungo wake Bale hayatokuwa makubwa
-
Kocha wa Chelsea Benitez aridhishwa na kiwango cha Mshambuliaji wake Torres alichokionesha kwenye Europa
-
Pascal Lokua Kanza mwanamuziki anayetunga na kuimba kwa lugha tano tofauti nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC
-
Wabunge Nchini Kenya waanza mchakato wa kutaka kuongezewa mishahara kabla ya kuanza kibarua chao juma lijalo