-
Korea Kaskazini yatoa onyo kwa balozi mbalimbali na mashirika ya kimataifa juu ya usalama wao endapo mapigano yatazuka kati yake na Korea Kusini
-
Ufaransa yaahidi kuendelea kuisaidia Mali kukabiliana na makundi ya wapiganaji
-
Arsenal kushuka dimbani kukabiliana na West Brom jumamosi hii
-
Tanzania yatangaza msimamo wao juu ya mgogoro wa mpaka katika Ziwa Nyasa na Jirani zao Malawi huku hofu ya kuzuka vita kati ya Korea Kaskazini na Marekani ikizidi kukua
-
Muziki wa dansi na bendi ya Extra Bongo ya nchini Tanzania