-
Rais Barack Obama aendelea kuongeza shinikizo kwa Baraza la Seneti lipitishe Sheria ya Mabadiliko ya Umiliki wa Silaha
-
Watu 56 wapoteza maisha nchini Argentina kufuatia kutokea kwa mafuriko mabaya yaliyochangiwa na kunyesha kwa mvua
-
Viongozi wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika ya Kati ECCAS wakataa kumtambua Michel Djotodia kama Kiongozi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati
-
Marekani yatangaza zawadi ya Dola Milioni 5 kwa atayakayefanikisha kukamatwa kwa Kiongozi wa LRA Joseph Kony
-
Korea Kaskazini yatoa ruhusa kwa Jeshi lake kutumia silaha za nyuklia kwenye mashambulizi yake dhidi ya Marekani
-
Real Madrid yakaribia Nusu Fainali Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya huku Malaga na Borussia Dortmund ngoma ikiwa ngumu
-
Kocha wa Real Madrid Jose Mourinho atoa onyo kwa wachezaji wake kutobweteka na ushindi dhidi ya Galatasaray
-
Rais wa Syria Bashar Al Assad aikosoa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kwa maamuzi naye na kusema imepoteza uhalali wake
-
Serikali ya Afrika Kusini kuondoa wanajeshi wake Nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati baada ya vifo vya wanajeshi wake 13
-
Kocha wa Manchester United Alex Ferguson amtaka Mshambuliaji Van Persie kurejesha makali yake ya ufungaji
-
Mustakabali wa Taifa la Kenya chini ya Utawala wa Serikali ya Awamu ya Nne itakayoongozwa na Rais Uhuru Muigai Kenyatta
-
Msako wa Kiongozi wa Kundi la Waasi la LRA Joseph Kony waongezewa nguvu baada ya Marekani kutanga dau la Dola Milioni 5