-
Umoja wa Mataifa UN na Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC wasaini mkataba wa kukabiliana na vitendo vya ubakaji
-
Kampeni za Uchaguzi wa Rais nchini Venezuela zaanza huku Wagombea wakiwa na siku 10 za kupita kwenye Majimbo 23
-
Kiongozi aliyeangushwa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati Bozize aituhumu Chad kuusaidia Muungano wa Seleka kumng'oa madarakani
-
Korea Kaskazini yawazuia wafanyakazi raia wa Korea Kusini kuingia kwenye Ukanda wa Viwanda unaomilikiwa kwa pamoja na pande hizo
-
Bayern Munich yaizima Juventus kwenye mkondo wa kwanza wa Robo Fainali huku Barcelona ikibanwa mbavu na PSG
-
Mshambuliaji wa Galatasaray Didier Drogba anaamini Jose Mourinho atarejea Uingereza kukinoa Kikosi cha Chelsea
-
Michezo miwili ya Mkondo wa Kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya kupigwa nchini Uhispania
-
Uganda yasitisha kwa muda msako dhidi ya Kiongozi wa Kundi la Waasi la LRA Joseph Kony anayejificha Nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati
-
Afya ya Rais wa Kwanza Mzalendo nchini Afrika Kusini Nelson Mandela yazidi kuimarika baada ya kuwa Hospital kwa siku 7
-
Mahakama Kuu nchini Kenya yausafisha ushindi wa Rais Mteule Uhuru Muigai Kenyatta na kuzima kesi ya Raila Odinga
-
China kuendelea kuzisaidia nchi za Bara la Afrika na athari zinazoweza kupatikana kwa kupatiwa mikopo
-
Wanawake nchini Jamhuri ya Kidemokarsia ya Congo DRC wajipanga kukabiliana na vitendo vya ubakaji Mashariki mwa Nchi hiyo