-
Umoja wa Afrika AU waitolea mwito jamii ya kimataifa kuisadia Somalia inayo kabiliwa na janga la njaa
-
Maelfu waandamana nchini Misri kushinikiza kuangushwa kwa uongozi wa kijeshi
-
Waasi wa Libya washtumiwa kujihusisha na uharibifu wa mali na unyanyasaji
-
Rais Obama asema, Bashar al Asad amepoteza uhalali wa kutawala Syria
-
Kikosi cha wokozi majini nchini Urusi cha faanikiwa kunasua miili ya watoto waliokuwa wamenaswa
-
IMF, yafanya uteuzi wa kwanza baada ya kumpata kiongozi mpya
-
Naibu mshauri wa usalama wa Marekani atowa wito wa kufanyika mabadiliko nchini Yemen
-
Inter Milan yakana kupokea ombi la kutaka kumnunua Wesley Sneijder
-
Simukunda ateuliwa kuwakocha bora nchini Zambia.
-
Makala ya 140 ya Golf ya St.Georges yaanza.
-
Bomu la mkononi lawauwa zaidi ya wanajeshi 2 kasakazini mwa Nigeria
-
Waziri mkuu wa Tunisia atowa mwito kwa vyama vya upinzani kurejea katika kamati ya majadiliano
-
Mwanaharakati mmoja athibitisha kuwepo na vitendo vya unyanyasaji na maofisa wa Israeli
-
Rais wa Afghanistani aongoza shughuli za mazishi ya nduguye mjini Kaboul
-
Italia yatakiwa na IMF kuchukuwa hatuwa madhubuti za kubana matumizi
-
Waziri mkuu wa Japan atangaza mkakati mpya wa kuondokana na matumizi ya nishati ya umeme na nyuklia
-
1 Emission en swahili 2011-07-13
-
1 Emission en swahili 2011-07-13
-
1 Emission en swahili 2011-07-13
-
Uharamia wa taarifa kupitia simu
-
Dhana ya ubanaji matumizi