Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho
Umuhimu na uhifadhi wa wanyamapori na mimea
Imechapishwa:
Cheza - 09:52
Mwishoni mwa juma lililopita, dunia iliadhimisha siku ya kimataifa ya wanyamapori, kusherehekea mchango wa wanyamapori na mimea kwa dunia. Katika makala ya wiki hii, tumezungumza na Ephraim Mwangomo, kamishmna msaidizi wa uhifadhi katika hifadhi ya taifa ya Sadaani nchini Tanzania, hifadhi iliyoko kwenye pwani ya bahari ya hindi na kwa pamoja tunaangazia siku hii inayoadhimishwa Machi 3 kila mwaka.