Pata taarifa kuu
Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho

Hali ya mafuriko katika nchi za Afrika Mashariki na Pembe ya Afrika

Imechapishwa:

Kulingana na jumuiya ya IGAD,  zaidi ya vifo 190 vimeriotiwa  katika eneo la pembe ya Afrika, huku watu wengine laki 7 wakiyahama makazi yao.

Idara tisa kati ya 12 za nchi bado zimesalia "chini ya maji" na "jumla ya watu milioni 1.8 wameathiriwa" na mafuriko.
Idara tisa kati ya 12 za nchi bado zimesalia "chini ya maji" na "jumla ya watu milioni 1.8 wameathiriwa" na mafuriko. © AFP
Vipindi vingine
  • 10:12
  • 10:10
  • 09:59
  • 10:09
  • 09:46
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.