Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho
Haki ya raia kuwa na mazingira safi na salama
Imechapishwa:
Cheza - 10:02
Msikilizaji, mwishoni mwa mwezi Julai mwaka huu, Baraza kuu la Umoja wa mataifa, lilipitisha azimio kwamba kila mtu ana haki ya mazingira safi, yenye afya na endelevu.Azimio kama hili lilipitishwa 2021 na baraza hilo ambalo lilitoa wito kwa mataifa, mashirika na makampuni ya biashara kuongeza juhudi za kuhakikisha kuna mazingira yenye afya kwa wote.