Msikilizaji, katikati ya janga la corona na hali ya mabadiliko ya tabianchi, suala la uhifadhi wa mazingira na wanyamapori halipaswi kusahaulika, nchi mbalimbali zinajitahidi kuangazia namna wanachi wanaweza kuhusishwa kikamilifu katika suala hili, wakati uo huo pia wananchi wenyewe wamejipa jukumu la kulinda mazingira.
Vipindi vingine