Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho
Mvutano kati ya Mahakama za Marekani na rais Joe Biden kuhusu hali ya hewa
Imechapishwa:
Cheza - 10:05
Makala ya wiki hii inaangazia, uamuzi wa mahakama ya juu nchini Marekani ilitoa uamuzi wa kushtua baada ya kutangaza kudhibiti sehemu ya mamlaka ya rais Joe Biden, kuchukua hatua za kudhibiti athari za mabadiliko ya tabianchi, uamuzi ulikuwa pigo kwa utawala wake katika kufikia melengo ya kimataifa na hasa utekelezaji wa mkataba wa Paris.