Msikilizaji, katika kipindi ambapo dunia inakabiliwa na changamoto za kimazingira, nchi mbalimabali zinajaribu kuimarisha utunzaji wa misitu kupitia miradi ya upandaji miti, tunapozungumzia swala la ukuaji wa miji barani Afrika, swala la mazingira halipaswa kusahaulika, kutokana na mchango wake kwa uchumi na afya ya wananchi.
Vipindi vingine