Habari RFI-Ki
Maoni ya waskilizaji kuhusu mzozo mpya baina ya Israel na Palestina
Imechapishwa:
Cheza - 10:01
Mapigano yanaendelea kati ya wapiganaji wa Hamas na wanajeshi wa Israel, baada ya kundi la Palestina, kufanya mashambulio ya kushtukiza dhidi ya Israel kutoka Gaza, katika ongezeko kubwa la mzozo kati ya Israel na Palestina.Unazungumziaje mzozo huu?Unadhani jumuiya ya kimataifa imeshindwa kuzisaidia pande hizo mbili kupata suluhu?