Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Maoni ya waskilizaji kuhusu mzozo mpya baina ya Israel na Palestina

Imechapishwa:

Mapigano yanaendelea kati ya wapiganaji wa Hamas na wanajeshi wa Israel, baada ya kundi la Palestina, kufanya mashambulio ya kushtukiza dhidi ya Israel kutoka Gaza, katika ongezeko kubwa la mzozo kati ya Israel na Palestina.Unazungumziaje mzozo huu?Unadhani jumuiya ya kimataifa imeshindwa kuzisaidia pande hizo mbili kupata suluhu?

Jamaa wakikusanyika kuzunguka miili ya familia ya Zanon, waliofariki wakati wa shambulizi la anga la Israel kwenye kambi ya wakimbizi ya Rafah katika Ukanda wa Gaza mnamo Jumatatu, Oktoba 9, 2023.
Jamaa wakikusanyika kuzunguka miili ya familia ya Zanon, waliofariki wakati wa shambulizi la anga la Israel kwenye kambi ya wakimbizi ya Rafah katika Ukanda wa Gaza mnamo Jumatatu, Oktoba 9, 2023. AP - Hatem Ali
Vipindi vingine
  • 10:03
  • 10:06
  • 10:09
  • 10:00
  • 10:13
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.