Pata taarifa kuu
Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho

Jukwaa la Sekta ya Utalii laanzishwa Afrika Mashariki ili liweze kuchangia maendeleo zao katika Ukanda huu

Imechapishwa:

Sekta za utalii zimechukua na mchango mkubwa katika maendeleo ya uchumi ya mataifa yetu, hasa katika kuchangia fedha za kigeni na kutoa ajira kwa vijana wengi katika jamii zetu, Katika kuimarisha sekta ya utali katika nchi zetu za Afrika Mashariki, tumeshudia wakurugezi pamoja na wadau mbali mbali wa sekta ya utali wakikutana huko katika mjii wa Kigali nchini Rwanda, na kuanzisha jukwaa la pamoja katika sekta ya utali katika nchi za Afrika Mashariki. Ebby Shaban Abdallah katika makala ya Mazingira Leo Dunia Yako Kesho inaangazia juu ya mchango wa jukwa hilo

Moja ya sehemu ya vivutio vya utalii nchini Rwanda
Moja ya sehemu ya vivutio vya utalii nchini Rwanda Ebby Shaban Abdallah
Vipindi vingine
  • 10:10
  • 10:12
  • 10:10
  • 10:03
  • 09:59
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.