Pata taarifa kuu
Indonesia

Kesi ya kiongozi wa kidini nchini Indonesia Abu Bakar Bashir yasikilizwa chini ya ulinzi mkali

Usalama umeimarishwa nchini Indonesia huku mahakama ikitarajiwa kutoa uamuzi kuhusu tuhuma za ugaidi zinazomkabili kiongoni wa dini ya kiislamu Abu Bakar BashirMaafisa wa usalama wanasema kuwa zaidi ya askari elfu tatu wamepiga kambi katika jiji la Jakarta pamoja na maeneo yanayokaribia mahakama hiyo.

Abu Bakar Bashir, kiongozi wa kidini nchini Indonesia
Abu Bakar Bashir, kiongozi wa kidini nchini Indonesia REUTERS/Beawiharta
Matangazo ya kibiashara

Bashir mwenye umri wa miaka 72, anatuhumiwa kupanga na kufadhili mafunzo ya Jihad magharibi mwa nchi hiyo, shutuma ambazo amekuwa akipinga kwa kusema kuwa ni swala halali kulingana na dini ya kiiislamu.
Ikiwa kiongozi huyo atapatiakana na makosa, atafungwa kifungo cha maisha jela.
 

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.