Pata taarifa kuu
Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho

Fahamu juu ya Suala la Ukusanyaji Taka katika Mjii wa Nairobi

Imechapishwa:

Bila Shaka hakuna asiyefahamu kuwa baadhi ya maeneo mengi ya miji yetu ni machafu na uchafu huo huchangiwa sana na mifuko na chupa za plastiki.Kipindi cha Mazingira Leo Dunia Yako kesho kwa juma hili kinangazia juu ya kundi la Vijana la huko Nairobi nchini Kenya ambalo wanaokotoa taka ikiwemo chupa za plastiki,hii ikiwa ni moja ya njia ya kuweka mjii katika hali ya usafi

Mjii wa Niarobi
Mjii wa Niarobi AFP PHOTO / SIMON MAINA
Vipindi vingine
  • 10:10
  • 10:12
  • 10:10
  • 10:03
  • 09:59
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.