Pata taarifa kuu
Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho

NEMC: Kupambana na Mabadiliko ya tabianchi

Imechapishwa:

Tatizo la Mabadiliko ya tabianchi bado linaendelea kuwa tishio kubwa kwa ustawi wa maisha ya binadamu na kwa maendeleo endelevu haswa katika nchi zinazoendelea ambapo athari zake zimekwishaonekana katika mazingira, afya, miundombinu na pamoja na kiuchumi. Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) la Tanzania limeazisha mikakati mbali mbali kwajili ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi

Moja ya maeneo ya jiji la Dar es salaam nchini Tanzania ambayo yamekumbwa na mafuriko yanayotokana na mabadiliko ya tabia nchi.
Moja ya maeneo ya jiji la Dar es salaam nchini Tanzania ambayo yamekumbwa na mafuriko yanayotokana na mabadiliko ya tabia nchi. RFI
Vipindi vingine
  • 10:10
  • 10:12
  • 10:10
  • 10:03
  • 09:59
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.