Pata taarifa kuu
Afrika Ya Mashariki

Pombe haramu na jitihada za kufikia maendeleo ya jamii Afrika mashariki

Imechapishwa:

Makala ya Afrika mashariki juma hili inaangazia kuhusu watengenezaji na walevi wa gongo na chang'aa huko Ngara Kagera Tanzania kwa namna gani Nchi yenye walevi wa gongo kupindukia inapambana na ili kupata maendeleo. Ni vyema Juhudi zikachukuliwa kuzuia kabisa hilo ili rasirimali zilizopo zitumiwe kwenye mambo mengine na siyo kulewa ....karibu..!!!

Makala ya Afrika Mashariki, ni moja ya Makala ambayo inakukusanyia matukio na mambo mbalimbali yanayojiri kwenye ukanda, na inaruka kila siku za Jumanne jioni saa 12:20 na marudio Jumatano asubuhu saa 1:46.
Makala ya Afrika Mashariki, ni moja ya Makala ambayo inakukusanyia matukio na mambo mbalimbali yanayojiri kwenye ukanda, na inaruka kila siku za Jumanne jioni saa 12:20 na marudio Jumatano asubuhu saa 1:46. © EAC.int
Vipindi vingine
  • 09:59
  • 09:59
  • 09:59
  • 09:59
  • 09:59
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.