Pata taarifa kuu
Afrika Ya Mashariki

Mafundisho potofu kutoka kwa baadhi ya viongozi wa dini Afrika Mashariki

Imechapishwa:

Tunaangazia namna viongozi wa dini wamekuwa kinara katika kupambana na mafundisho potofu na kutumia mahangaiko ya waumini wao kama mtaji wa kuvuna utajiri.

Nchini Kenya mamia ya watu walifariki baada ya kufunga kula chakula kwa mujibu wa mafunzo ya kiongozi wao wa dini wakiwa na nia ya kumuona Kristo.
Nchini Kenya mamia ya watu walifariki baada ya kufunga kula chakula kwa mujibu wa mafunzo ya kiongozi wao wa dini wakiwa na nia ya kumuona Kristo. REUTERS - STRINGER
Vipindi vingine
  • 09:59
  • 09:59
  • 09:59
  • 09:59
  • 09:59
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.