Afrika Ya Mashariki
Mafundisho potofu kutoka kwa baadhi ya viongozi wa dini Afrika Mashariki
Imechapishwa:
Cheza - 09:59
Tunaangazia namna viongozi wa dini wamekuwa kinara katika kupambana na mafundisho potofu na kutumia mahangaiko ya waumini wao kama mtaji wa kuvuna utajiri.