Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Mwanamke akubali kuolewa na wanaume wawili Kenya

Imechapishwa:

Mjane mmoja mjini Mombasa nchini Kenya amekubali kuolewa na wanaume wawili baada ya kushindwa kumchagua mmoja kati yao kwa kile alichokisema anawapenda wote.Tunazungumzia suala ambalo sio rahisi kushuhudiwa katika mila na desturi za Kiafrika.Ungana na Martha Saranga

Vipindi vingine
  • 10:03
  • 10:06
  • 10:09
  • 10:00
  • 10:13
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.