Habari RFI-Ki
Hatua ya Uingereza kutishia kutotoa msaada kwa nchi ambazo hazitaruhusu ndoa za jinsia moja
Imechapishwa:
Cheza - 10:08
Mtayarishaji wa makala haya juma hili ameangazia hatua ya nchi ya Uingereza kutishia kutotoa msaada wa kifedha kwa nchi ambazo hazitaruhusu ndoa za jinsia moja.