Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Mashambulizi ya kigaidi jijini Brussels nchini Ubelgiji

Imechapishwa:

Nchi ya Ubelgiji bado inaomboleza vifo vya zaidi ya watu 30 baada ya magaidi wa Islamic State kushambulia uwanja wa ndege hapo jana jijini Brussels.Mashambulizi kama haya yamewahi pia kutokea nchini Ufaransa, Mali, Nigeria, Kenya na Somalia.Kwa maoni yako dunia inaweza kutumia mbinu gani kupambana na haya makundi ya kigaidi.Ni kitu gani ambacho hakifanyiki vizuri ? Dunia iko salama ? Ni maswali tunayouliza.

REUTERS/Francois Lenoir TPX IMAGES OF THE DAY
Vipindi vingine
  • 10:03
  • 10:06
  • 10:09
  • 10:00
  • 10:13
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.