Nchi ya Ubelgiji bado inaomboleza vifo vya zaidi ya watu 30 baada ya magaidi wa Islamic State kushambulia uwanja wa ndege hapo jana jijini Brussels.Mashambulizi kama haya yamewahi pia kutokea nchini Ufaransa, Mali, Nigeria, Kenya na Somalia.Kwa maoni yako dunia inaweza kutumia mbinu gani kupambana na haya makundi ya kigaidi.Ni kitu gani ambacho hakifanyiki vizuri ? Dunia iko salama ? Ni maswali tunayouliza.
Vipindi vingine
-
Maoni ya waskilizaji kuhusu mafuriko yanayo zikumba nchi za Afrika mashariki
Mafuriko yanashuhudiwa kwenye nchi za Afrika Mashariki, mamia ya watu wakiripotiwa kufariki, nyumba na miundombinu ikiharibiwa.Nchi za Kenya na Tanzania zimeathirika pakubwa na mafuriko haya. Unazungumziaje miakakati inayochukuliwa kuzuia madhara zaidi?Hali ikoje nchini mwako?Unachukua tahadhari zipi binafsi kujilinda?07/05/202410:03 -
10:06
-
10:09
-
Ushirikiano wa Afrika na benki ya Dunia pamoja na masharti magumu ya mikopo
Viongozi wa Afrika wamekutana Nairobi kujadili ushirikiano zaidi na benki ya dunia30/04/202410:00 -
Mafuriko yanavyoendelea kuutesa ukanda wa Afrika Mashariki
Ukanda wa Afrika ya mashariki na Pembe ya Afrika unaendelea kupokea mvua kubwa30/04/202410:13