Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Wakimbizi wa DRC nchini Uganda

Imechapishwa:

Maelfu ya wakimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamepewa hifadhi nchini Uganda na wengi wao wanaishi jijini Kampala.Baadhi ya wakimbizi hao wanajihusisha na maswala ya kibiashara kama ushonaji wa nguo katika soko la Copper Complex.Mwandishi wetu Victor Abuso alizungumza nao alipokuwa nao jijini Kampala. 

Jiji la Kampala
Jiji la Kampala
Vipindi vingine
  • 10:03
  • 10:06
  • 10:09
  • 10:00
  • 10:13
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.