Jukwaa la Michezo
Harakati za klabu za soka barani Afrika kufuzu kushiriki kombe la dunia mwaka 2014
Imechapishwa:
Cheza - 20:21
Katika makala haya leo tunachambua kuhusu michuano mbalimbali ya soka barani Afrika kusaka nafasi ya kushiriki katika fainali za kombe la dunia nchini Brazili mwaka ujao, Victor Abuso amekuandalia mengi.