Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Diamond League: Mary Moraa na Beatrice Chebet waibuka washindi riadha za Doha DL

Imechapishwa:

Tuliyokuandalia hii leo ni pamoja na matokeo ya riadha kwenye Doha Diamond League, AFCON UAE kuanza hapo kesho huko Dubai, michuano ya Congo Cup, uchambuzi wa mechi za Ligi ya Basketboli ya Afrika, Guinea yafuzu fainali za Olimpiki kwenye soka, mechi za kufuzu Kombe la Dunia la U17 kwa kina dada, Mbappe atangaza rasmi kuondoka PSG na uchambuzi wa fainali za mwaka huu za michuano ya bara Ulaya.

Mary Moraa akisherehekea ushindi wake kwenye mbio za mita 800 katika Doha Diamond League
Mary Moraa akisherehekea ushindi wake kwenye mbio za mita 800 katika Doha Diamond League © IAAF
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.