Jukwaa la Michezo
Tabia ya mashabiki wa soka kuwavamia na kuwapiga waamuzi
Imechapishwa:
Cheza - 20:08
Katika makala haya tunaangazia tabia ya mashabiki wa soka kuwavamia waamuzi na kuwapiga, tunaye mwamuzi wa siku nyingi kutoka nchini Kenya Hakim Juma.Karibu